Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba  ameipongeza Idara ya Afya kwa kushika nafasi ya Kwanza katika Halmashauri tisa za Mkoa wa Mtwara katika Kampeni ya Chanjo ya Kitaifa

Ameyasema hayo  wakati akipokea taarifa ya tathimini ya Kampeni ya Chanjo ya Kitaifa Wilayani humo.

"Kazi mliyoifanya idara ya  Afya ni ya kubwa kuwa washindi wa kwanza katika Halmashauri tisa si kazi ndogo,hongereni Sana,"alisema Waryuba

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya, Antipas Swai alisema kuwa halmashauri imepata asilimia 117 kwa Surua Rubella na asulimia 115 kwa polio ya sindano

Kampeni ya Chanjo ya Kitaifa katika Wilaya ya Tandahimba ilianza Oktoba 17 Hadi Oktoba 21 mwaka huu ambapo wananchi walijitokeza kwa wingi kuleta watoto kupatiwa huduma hiyo
 Mkuu wa Wilaya Sebastian Waryuba akitoa pongezi kwa idara ya Afya
 Mganga Mfawidhi wa hospital ya Wilaya Antipas Swai 
 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...