Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akisalimiana na Mtaalam Mshauri Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) kutoka Makao Makuu Uingereza, Ndg. Anthony Staddon alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akimsikiliza Mtaalam Mshauri Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) kutoka Makao Makuu Uingereza, Ndg. Anthony Staddon alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akizungumza na Mtaalam Mshauri Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) kutoka Makao Makuu Uingereza, Ndg. Anthony Staddon (wa pili kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni Katibu Msaidizi wa Bunge, Ndg. Zainab Kihange, Katibu wa Spika wa Bunge, Ndg. Saidi Yakubu na Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano wa Kimataifa na Itifaki, Ndg. Daniel Eliufoo. 
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akiagana na Mtaalam Mshauri Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) kutoka Makao Makuu Uingereza, Ndg. Anthony Staddon baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...