Katika
kutambua umuhimu wa vijana ambao ni Taifa la kesho, Wanafunzi wa kidato
cha sita wa Shule ya Wasichana ya Barbro Johansson Model iliyopo jijini
Dar es Salaam, wamepata elimu ya fedha na umuhimu wa matumizi makini ya
fedha ikiwemo kuweka akiba benki, walipotembelea Makao Makuu ya benki
hiyo kujionea shughuli mbalimbali za kibenki kwa vitendo.
Kaimu Mkurugenzi wa NMB – Ruth Zaipuna akikata keki pamoja na wanafunzi.
Mmoja wa Wanaafunzi akimlisha kipande cha keki Kaimu Mkurugenzi wa NMB – Ruth Zaipuna akikata keki pamoja na wanafunzi.Pamoja na hayo, Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna amewaasa wanafunzi hao kuwekeza nguvu zaidi katika elimu, kusoma kwa bidii na kuhakikisha wanatimiza malengo yao.
Wanafunzi wakifurahi pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa NMB- Ruth Zaipuna na Mwalimu wao- Jennifer Dominick.
Wanafunzi wakipata elimu kutoka kwa Ofisa wa benki ya NMB- Monica Job. Wanafunzi hao walipata nafasi ya kujifunza na kutembelea idara na vitengo tofauti ili kufahamu shughuli zao lakini pia walitembelea Tawi la NMB Ohio.
Kaimu Mkurugenzi wa NMB – Ruth Zaipuna akikata keki pamoja na wanafunzi.
Mmoja wa Wanaafunzi akimlisha kipande cha keki Kaimu Mkurugenzi wa NMB – Ruth Zaipuna akikata keki pamoja na wanafunzi.Pamoja na hayo, Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna amewaasa wanafunzi hao kuwekeza nguvu zaidi katika elimu, kusoma kwa bidii na kuhakikisha wanatimiza malengo yao.
Wanafunzi wakifurahi pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa NMB- Ruth Zaipuna na Mwalimu wao- Jennifer Dominick.
Wanafunzi wakipata elimu kutoka kwa Ofisa wa benki ya NMB- Monica Job. Wanafunzi hao walipata nafasi ya kujifunza na kutembelea idara na vitengo tofauti ili kufahamu shughuli zao lakini pia walitembelea Tawi la NMB Ohio.
Baada
ya mafunzo hayo, wanafunzi wote walipata nafasi ya kufungua akaunti
zitakazowawezesha kutunza fedha na kujijengea tabia ya kuweka akiba na
kunufaika na huduma na bidhaa za benki ya NMB hususan Chipukizi na
Mwanachuo Akaunti.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...