Anasema Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka; Matarajio yetu ni kuwa Mkoa ambao hatutakuwa na maelfu ya viwanda,-Bali Kuwa na Viwanda vichache vitakavyoajiri Maelfu ya Vijana wa Kitanzania- (One Factory Athousand Employees) .
Pichani juuu ni Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo akiwa na Mwekezaji ambaye amefika Simiyu kwa ajili ya kuwekeza kiwanda cha Nguo pamoja na kiwanda cha vyombo vya udongo(Sahani,vikombe,Glass nk) viwanda vyote viwili vinatarajia kutoa ajira zaidi ya elfu mbili kwa vijana wa Kitanzania ,pichani Mwekezaji huyo akikagua eneo atakalojenga viwanda vyake ndani ya mji wa Bariadi) Mwaka 2020-Ni Mwaka wa Kutenda-Tuendelee Kumpa Mungu Nafasi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...