Abiria waliokuwa wakisafiri na basi la Kamwana kutoka jijini Dodoma kuelekea Dar wamenusurika kwa mara ya pili baada ya basi hilo kutaka kuwaka moto lilipopasuka mpira wa nyuma kilomita 15 kutoka Dumila.

Awali basi hilo lilipasuka mpira kilomita nne kabla ya kufika Kibaigwa. Askari wa Usalama barabarani tayar wamefika eneo la tukio na kuwatuliza abiria waliojawa na hofu





Baada ya kupasuka (Bust) tairi ilianza kuwaka moto,Lakin kwa bahat nzuri wafanyakazi wa basi hilo wamefanikiwa kuuzima moto kwa kutumia vifaa vya kuzimia moto vilivyomo ndani ya basi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...