Jeshi
la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limefanikiwa kuwaua majambazi wa
watatu na kufanikawa kukamata silaha moja aina ya bastola iliyofutwa
namba pamoja na magazine iliyokuwa na risasi moja.
Mnamo 19.01.2020 majira ya 7:30 mchana huko maeneo ya Magomeni katika ufuatiliaji wa wahalifu, ghafla Askari Polisi waliokuwa katika doria walishambuliwa kwa risasi na majambazi ambao walihisi kuwa wanafuatiliwa na ndipo askari walijibu mapigo na kufanikiwa kuwajeruhi
majambazi watatu kwa risasi na wakati wanakimbizwa katika ya Hospitali Mhimbili kwa ajili ya matibabu walifariki dunia.
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa majambazi hao wamekuwa wakifanya matukio mbalimbali ya kihalifu maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salama
na mikoa ya jirani.
Jeshi la Polisi linaendelea na msako mkali wa wahalifu wote wanaofanya uhalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dsm, wananchi waendelee kutupa ushirikiano kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu.
Mnamo 19.01.2020 majira ya 7:30 mchana huko maeneo ya Magomeni katika ufuatiliaji wa wahalifu, ghafla Askari Polisi waliokuwa katika doria walishambuliwa kwa risasi na majambazi ambao walihisi kuwa wanafuatiliwa na ndipo askari walijibu mapigo na kufanikiwa kuwajeruhi
majambazi watatu kwa risasi na wakati wanakimbizwa katika ya Hospitali Mhimbili kwa ajili ya matibabu walifariki dunia.
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa majambazi hao wamekuwa wakifanya matukio mbalimbali ya kihalifu maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salama
na mikoa ya jirani.
Jeshi la Polisi linaendelea na msako mkali wa wahalifu wote wanaofanya uhalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dsm, wananchi waendelee kutupa ushirikiano kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...