Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen
Kagaigai (kulia) akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Zambia na
Mwenyekiti wa Bodi Kampuni ya Bomba la Mafuta kati ya Tanzania na
Zambia, Ndg. Trevor Kaunda alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni
Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen
Kagaigai (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Zambia na
Mwenyekiti wa Bodi Kampuni ya Bomba la Mafuta kati ya Tanzania na
Zambia, Ndg. Trevor Kaunda alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni
Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen
Kagaigai (kulia) akizungumza na Bodi na Menejiment ya Kampuni ya Mafuta
ya Tanzania na Zambia ilipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini
Dodoma. Wa pili kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Zambia na
Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bomba la Mafuta kati ya Tanzania na
Zambia, Ndg. Trevor Kaunda
Katibu wa Bunge,
Ndg. Stephen Kagaigai (watatu kulia) katika picha ya pamoja na Bodi na
Menejimenti ya Kampuni ya Bomba la Mafuta kati ya Tanzania na Zambia,
iliyoongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati
Zambia Ndg. Trevor Kaunda (katikati) Bungeni Jijini Dodoma.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...