Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akikagua gwaride maalum wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zinazofanyika hivi sasa katika Uwanja wa Amani, Unguja Zanzibar. Picha na Maktaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...