Mbuzi nao wanafuata sheria bila shuruti kwa kutumia maeneo maalum ya kuvuka barabara! Wewe ni nani unayevuka barabara hovyo? Umeshindwa hata na mbuzi?
Eneo: Barabara ya Kawawa mbele kidogo tu ya Msimbazi centre kwenye makutano ya barabara ya kuelekea Jangwani, Dar es Salaam
Muda: Jana januari 12,2020,Picha kwa hisani ya Manyerere Jackton
Muda: Jana januari 12,2020,Picha kwa hisani ya Manyerere Jackton
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...