Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiondoa kitambaa
kuzindua Tuzo ya Kimataifa ya Quran Tukufu kwa Mwaka 2020 iliyofanyika
Januari 18,2020 katika Ukumbi wa Johari Rotana Hotel Jijini Dar es
salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimtunuku Shahada ya
Pongezi kwa kuhifadhi na kutunukiwa Ijaza ya Quran kwa Riwaya ya Hafsi
Mshindi wa kuhifadhi Quran Duniani Mwaka 2019 Zakaria Sheha Ally kutoka
Kisiwani Pemba Wakati wa Uzinduzi wa Tuzo ya Kimataifa ya Quran Tukufu
kwa Mwaka 2020 iliyofanyika Januari 18,2020 katika Ukumbi wa Johari
Rotana Hotel Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimtunuku Shahada ya
Pongezi kwa kuhifadhi na kutunukiwa Ijaza ya Quran kwa Riwaya ya Hafsi
Ismail Ally Juma Wakati wa Uzinduzi wa Tuzo ya Kimataifa ya Quran
Tukufu kwa Mwaka 2020 iliyofanyika Januari 18,2020 katika Ukumbi wa
Johari Rotana Hotel Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na
kuzungumza na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohammed Gharib Bilal
walipokutana katika hafla ya Chakula cha Jioni kwa ajili ya Uzinduzi wa
Tuzo ya Kimataifa ya Quran Tukufu kwa Mwaka 2020 iliyofanyika Januari
18,2020 katika Ukumbi wa Johari Rotana Hotel Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kuzungumza na Kadhi Mkuu
wa Tanzania Sheikh Hamid Masoud Jongo katika hafla ya Chakula cha Jioni
kwa ajili ya Uzinduzi wa Tuzo ya Kimataifa ya Quran Tukufu kwa Mwaka
2020 iliyofanyika Januari 18,2020 katika Ukumbi wa Johari Rotana Hotel
Jijini Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wananchi na
Waumini wa Dini ya Kiislam katika hafla ya Chakula cha Jioni kwa ajili
ya Uzinduzi wa Tuzo ya Kimataifa ya Quran Tukufu kwa Mwaka 2020
iliyofanyika Januari 18,2020 katika Ukumbi wa Johari Rotana Hotel Jijini
Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...