Mkurugenzi wa kitengo cha dijitali na huduma za ziada Vodacom Tanzania Plc, Nguvu Kamanda (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 150,000,000/- mshindi wa shindano la TUSUA MAPENE na Vodacom , Eveneth Rutiyomba ambaye ni fundi cherehani mkazi wa Kimara Bucha , hafla ya makabidhiano ilifanyika Kimara jijini Dar Es Salaam jana. Pichani katikati ni Afisa wa Huduma za Ziada Vodacom, Paulina Bisheko.
Mkurugenzi wa kitengo cha dijitali na huduma za ziada Vodacom Tanzania Plc, Nguvu Kamanda (kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na mshindi wa shindano la TUSUA MAPENE, Eveneth Rutiyomba (kulia) pamoja na wazazi wake, John Ndebisa na Fasness Ndebisa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...