Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia mashine ya kukamulia miwa ya sukari, wakati alipotembelea kiwanda cha kuzalisha sukari cha Zanzibar kilichopo katika eneo la Mahonda wilaya ya Kaskazini ‘A’ mkoa wa Kaskazini Unguja. Januari 18, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na mwenyeji wake, Mkurugenzi Mkazi wa kiwanda cha kuzalisha sukari cha Zanzibar, Rahim Bhaloo,akikagua shehena ya sukari, katika kiwanda hicho kilichopo katika eneo la Mahonda wilaya ya Kaskazini ‘A’ mkoa wa Kaskazini Unguja. Januari 18, 2020.
Wananchi wa kiwanda cha kuzalisha Sukari cha Zanzibar, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwahutubia, baada ya kukagua Kiwanda hicho, kilichopo katika eneo la Mahonda wilaya ya Kaskazini ‘A’ Mkoa wa Kaskazini Unguja. Januari 18, 2020
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia ramani ya nyumba za maafa, wakati alipokagua nyumba hizo, zilizopo Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Januari 18, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...