Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akiangalia mashine ya kukamulia miwa ya sukari, wakati
alipotembelea kiwanda cha kuzalisha sukari cha Zanzibar kilichopo katika
eneo la Mahonda wilaya ya Kaskazini ‘A’ mkoa wa Kaskazini Unguja.
Januari 18, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akiwa na mwenyeji wake, Mkurugenzi Mkazi wa kiwanda cha kuzalisha sukari
cha Zanzibar, Rahim Bhaloo,akikagua shehena ya sukari, katika kiwanda
hicho kilichopo katika eneo la Mahonda wilaya ya Kaskazini ‘A’ mkoa wa
Kaskazini Unguja. Januari 18, 2020.
Wananchi wa kiwanda cha kuzalisha
Sukari cha Zanzibar, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akiwahutubia, baada ya kukagua Kiwanda hicho, kilichopo katika eneo la
Mahonda wilaya ya Kaskazini ‘A’ Mkoa wa Kaskazini Unguja. Januari 18,
2020
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akiangalia ramani ya nyumba za maafa, wakati alipokagua nyumba hizo,
zilizopo Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Januari 18, 2020. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...