Katibu wa CCM Wilaya ya Mbarali akimkabidhi fomu ya Kugombea Ubunge Kada wa CCM Yunus Msanguka zoezi la uchukuaji zimefanyika katika ofisi ya wilaya Mbarali mkoani Mbeya.
Na Chalila Kibuda,Michuzi Tv
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Yunus Msanguka amechukua fomu ya kugombea ubunge katika Jimbo la Mbarali
Akizungumza na Mwandishi wa Michuzi TV kwa njia ya Simu mara baada ya kuchukua fomu Msanguka amesema amefikia uamuzi huo kutokana na katiba ya chama inamruhusu na kuweza kuwatumikia wananchi atapopitishwa na chama hicho.
Amesema moyo wa kujituma katika chama anao hivyo atapoteuliwa atakwenda kuwatumikia Wanambarali katika maendeleo.Amesema kuwa anachosubiri sasa ni mchakato ndani ya chama akipita hapo ni kuipeperusha bendera ya chama hicho.
Amesema uwezo anao wa kupeperusha bendera hiyo kutokana na kuwa karibu na wananchi wa Jimbo hilo.Aidha, amesema kuwa kazi ni kuendeleza mazuri zaidi kutokana na sera za Rais Dkt.John Pombe Magufuli ya kuwainua wanyonge.
Msanguka amesema Ukonga akipita ataenda kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi."Nikiteuliwa ndani ya Chama kazi yangu itakuwa ni kupigania maendeleo ya wanambarali kwa kauli mbiu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kwenda kisasa zaidi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa kasi"amesema Msanguka
Hata hivyo, amesema kama kijana amekuwa na maono mengi ya kutaka vijana kuinuka kiuchumi katika kuwaunganisha kwenye fursa wanambarali
Hata hivyo, amesema kama kijana amekuwa na maono mengi ya kutaka vijana kuinuka kiuchumi katika kuwaunganisha kwenye fursa zilizopo wanambarali .
Msanguka ambaye pia m wa habari mkongwe amechukua fomu Ofisi za CCM Wilaya ya Mbarali zilizopo Rujewa mkoani Mbeya Jumatano tarehe 15 Julai 2020.
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Yunus Msanguka amechukua fomu ya kugombea ubunge katika Jimbo la Mbarali
Akizungumza na Mwandishi wa Michuzi TV kwa njia ya Simu mara baada ya kuchukua fomu Msanguka amesema amefikia uamuzi huo kutokana na katiba ya chama inamruhusu na kuweza kuwatumikia wananchi atapopitishwa na chama hicho.
Amesema moyo wa kujituma katika chama anao hivyo atapoteuliwa atakwenda kuwatumikia Wanambarali katika maendeleo.Amesema kuwa anachosubiri sasa ni mchakato ndani ya chama akipita hapo ni kuipeperusha bendera ya chama hicho.
Amesema uwezo anao wa kupeperusha bendera hiyo kutokana na kuwa karibu na wananchi wa Jimbo hilo.Aidha, amesema kuwa kazi ni kuendeleza mazuri zaidi kutokana na sera za Rais Dkt.John Pombe Magufuli ya kuwainua wanyonge.
Msanguka amesema Ukonga akipita ataenda kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi."Nikiteuliwa ndani ya Chama kazi yangu itakuwa ni kupigania maendeleo ya wanambarali kwa kauli mbiu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kwenda kisasa zaidi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa kasi"amesema Msanguka
Hata hivyo, amesema kama kijana amekuwa na maono mengi ya kutaka vijana kuinuka kiuchumi katika kuwaunganisha kwenye fursa wanambarali
Hata hivyo, amesema kama kijana amekuwa na maono mengi ya kutaka vijana kuinuka kiuchumi katika kuwaunganisha kwenye fursa zilizopo wanambarali .
Msanguka ambaye pia m wa habari mkongwe amechukua fomu Ofisi za CCM Wilaya ya Mbarali zilizopo Rujewa mkoani Mbeya Jumatano tarehe 15 Julai 2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...