*************************************************

Washiriki 20 wa shindano la Miss Tanzania 2020 leo wamemtembelea Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ofisini kwake kwa lengo la kujitambulisha, kumsalimia na kupata Baraka za shindano hilo linalotaraji kufanyika siku ya kesho Disemba 05 kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere Jijini humo.

RC Kunenge amewapongeza washiriki hao kwa hatua waliyofikia na kuwataka kujiamini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...