Mbunge wa Jimbo la Kawe,Askofu Josephat Gwajima akizungumza
na wananchi wa mtaa wa Mbopo na Madale kata ya Mabwepande wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam leo katika
mkutano wakusiliza kero na kuhamasisha maendeleo ambapo amewaahidi wananchi kushirikiana
nao iliwapate kivuko cha muda kwenye Mto
Nyakasangwa wakiwa wanasubiri fungu kutoka serikalini la kutengezeweza
daraja la kudumu.(Picha zote
Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)Mbunge wa Jimbo la Kawe,Askofu Josephat Gwajima (Mwenye kofia,)
akiwasikiliza wananchi wa mtaa wa Mbopo na Madale baada ya mkutano kumalizika, kulia ni Mwenyekiti
wa Serikali za Mtaa Mbopo, Mohamed Bushir. Mkutano ukiendeleaMbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima
akiwasiliza wananchi wa mtaa wa Mbopo na Madale baada ya mkutano kumalizika wa pili kushoto ni Mwenyekiti
wa Serikali za Mtaa Mbopo,Mohamed Bushir.Mbunge wa Jimbo la Kawe,Askofu Josephat Gwajima (Mwenye kofia)
akiwa ameongozana na viogozi wa Mtaa wa Mbopo na Madale akivuka mto Nyakasangwa. (Picha zote Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv.)Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa Mbopo, Mohamed Bushir (watatu kushoto). Akiwa katika
picha pamoja na wananchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...