lucas kisasa (shoto) na emmanuel mpangala (kati) wakiwa na mmoja wa wadau wakuu wa yanga suleiman wakiteta jambo. kisasa na mpangala wanagombea nafasi ya katibu mkuu. hapo wanasubiri kwenda kunadi sera na kujieleza mbele ya wanachama

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2007

    AFYA MGOGORO WOTE MASKINI TZ TUNAKWENDA WAPI???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...