Home
Unlabelled
ze fulanazzz + ze mikonozzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Maanko kwa mtindo upi hapo?
ReplyDeleteManake kwa jinsi ninavyofahamu Anko ni ndugu wa kiume wa baba au Mama sasa hawa ninaowaona kwenye picha ni wanawake, huo U-anko umekujaje na kuna uhalali wa kuwaita wanawake Ma-anko pia?
Michuzi nifungue macho mwenziyo manake naona kama umepotoka vile kutumia neno ndivyo sivyo.
Michuzi bwana, kwa totoz hujambo, yaani hii mikonoziii bado hujaacha, kweli aka kaugonjwa kamekukolea. anyway bwana we enjoy tu maisha yenyewe ni kama hivyo.
ReplyDeleteHey Michuzi!!
ReplyDeleteKwanini hao madada unawadhalilisha kwa kuwaita anko "uncle", wewe wakikuita anti utafurahi!!! Maskini ya mungu dada zetu hao wanacheka kwa furaha...lakini Michuzi kaamua kuwa ita eti "Uncle" yeye kasema anko zake....angewaita hata wipwa kwa uwingi tungejua watoto wa dada yake...lakini huwezi jua duniani mambo mengi yanabadilika.
baniani husema
ReplyDeletewewe janja iko
hao ni nephews wako bwana misupu...
ReplyDeletewakiwa wakike kama hao ni 'niece' sio ma anko, wakiwa wakiume ni 'nephews' ...naomba udugu hapo michuzi
ReplyDeletemi nina maoni/swali linaloenda sambamba na swali la michuzi hapo juu. Nimeona watanzania wengi wakiwaita nieces and nephews (i.e. watoto wa dada zao au watoto wa kaka wa wake zao) WAJOMBA.
ReplyDeleteSidhani kama ni kiswahili fasaha. Navyofahamu mimi, wewe ndio wanakuita MJOMBA. Ila wewe unawaita wao WAPWA. (Umjoja MPWA). Wadau mnasemaje juu ya hili, lipi ni sahihi?
PS: mdau wa May 14, 2008 5:58 PM ameshatoa jibu sahihi kwa nanihii wa Tegeta
Walioandika niece na nephews hebu yatafsirini hayo maneno kwa kishwahili hayo ni maneno ya wenzetu kwani msije kujifanya mnakosoa kumbe hamjui maneno sahihi.
ReplyDeleteKwako wewe, kila mmoja ni mpwa, au wapwa katika wingi wao. Ila wewe kwao ni "ami" au "mjomba" wao. Sina uhakika kama kuna tofauti kati ya ami na mjomba...labda ami ndio baba mdogo/mkubwa. Msaada tutani wadau.
ReplyDeletesawa jamani ngoja tusaidiane,maana najua kwetu watanzania tunapenda kutafsiri kiswahili mojakwamoja kwenda kiingereza ndio maana tunakosea maranyingi.
ReplyDeletekaka/mdogo wakiume wa baba yako[baba mkubwa/mdogo],au kaka wa mama yako[mjomba]=uncle.
dada wa baba yako au wa mamayako=aunt
watoto wa baba yako mkubwa/mdogo[kaka,au dada],na watoto wa shangazi,au mamayako mdogo[binamu]=cousin
watoto wa dada yako,au kaka yako[wapwa]= kama niwakiume[nephew],kama wakike[niece].
shemeji,wifi,wakwe,=inlaws,ilahapa inategemea kitangulizi,mfano mother inlaw,sister inlaw etc.
babu,bibi=grand parents.
wajukuu-grand children[son,daughter]
baba/mama wa kambo=step father/mother.
baba/mama wa babu/bibi yako=grand grand parent,
mchango wangu ndio huo.
mdau-ughaibuni
Peter bwana :)
ReplyDeleteNaomba niwarahisishie wadau...huyo dada wa kushoto anaitwa Maria na wa kulia anaitwa Namsy. Kwani Michuzi wewe mpare?????
sasa we Anony wa May 14, 2008 8:08 PM sijui unataka watu watafsiri kwa lugha gani tena? Maana Michuzi ameuliza kwa awaiteje hao wapwa (ingawa katumia kimakosa neno "wajomba") zake kwa kiinnglish na wadau wamejibu kwa usahihi ni nieces na iwapo wangekuwa wa kiume nephews.
ReplyDeleteSasa unataka watu watafsiri kwa lugha nyingine ipi tena? Kiyao au?
Waosha Vinywa, lugha is not reachable. Hao ni "NIECES" not Nephews.
ReplyDeleteWabongo noma sana
Samahani hapo mdau wa Ughaibuni amesema Grand Grand...ni sawa ? au inabidi Great Grand....sio ugomvi ni katika kutaka maelekekezo tu ya Lugha.
ReplyDeleteJambo michuzi,
ReplyDeleteMzee wa konoziii naona mdo mlikuwa mmemaliza kuutwika ulabu kwani naona makuti yakitangaza ze biazi. endeleza kona ndo maana ukaruhusu salam na picha.
Mzee, naomba nije kuleta posa ya binti mmoja. They are so cute!
ReplyDeleteUkiuangalia uso wa Michuuz kwa makini hauko 'sraight',shavu limelalia zaidi kushoto kwake au kulia mwa picha!Message imeshafika Mze wa Konoooooooooooooooooooooooz!Ze Konooooz zingeshuka chini kidogooooooooz,ofcooooooooooooooourse!Jembe halimtupi Mkulima,MChuuuuuz!
ReplyDeletenikaktka mkono kuteleza tu, nikweli anonymous wa trh 15 2008,saa4:45 uko sahihi,ni GREAT GRAND parents/children. nashukuru kwa kutopita kimya,wengine huenda wangepotoka kwa hiyo typing error yangu. japo kwa kuangalia inakuwa haifanani na error bali mistake!
ReplyDeletemdau-ughaibuni.
eehh kaka michu na ww mpare maana i know namsifu n maria!!!maria amekuwa kweli..nyc 1
ReplyDeleteMisupu hapa umewakomesha wadau, wamekodolea macho watoto (WASICHANA), wamesahau THE FULANAZZZZZZZZZZZZ. Bila kuwawekea hizo sura ungesikia FULANAZZZZZZZ!
ReplyDeletePengine Kenya west na Jamie Foxx watakusaisia
ReplyDelete[Chorus:]
(She steal me money)
Now I ain't sayin' she a gold digger (When I'm in need)
But she ain't messin' wit no broke niggas (She steal me money)
Now I ain't sayin' she a gold digger (When I'm in need)
But she ain't messin' wit no broke niggas(I gotta leave)
Get down girl, go 'head get down (I gotta leave)
Get down girl, go 'head get down (I gotta leave)
Get down girl, go 'head get down (I gotta leave)
Get down girl, go 'head
From M14
Michuzi hivi hiyo fulana utanipa au ndo hadi aje bint ndio utatoa!basi mpe swahiba wako chibiliti maana si watu wa iringa hatuthaminiki ndio maana mjengwa kakimbia iringa!!
ReplyDeletewadau nisaidieni nipate hii Fulana itanifaa kwa baridi!
ReplyDeleteSalim, Mjengwa yupo wa siku hizi?
ReplyDelete