Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akisoma hotuba ya kuahirisha kikao cha bunge mjini Dodoma jana
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (kushoto ) na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mbunge wa Karatu, Dr. Wilbrod Slaa (katikati) baada ya kusoma hotuba yake ya Kuahirisha bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...