wah. wabunge toka shoto dk. harrison mwakyembe (kyela), dk. raphael chegeni (busega), beatrice shelukindo (kilindi) na anna kilango malecela (same mashariki) wakijadiliana nje ya ukumbi wa bunge baada ya kuahirishwa kwa kikao hicho kilichodumu kwa muda wa siku 80. msikilize dk. mwakyembe na wah. wengine wakiongelea ripoti ya serikali juu ya mkataba wa umeme wa richmond na tanesco kwa kutembelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. good to see you masunga!
    I admire your success, you are doing an amazing job keep on pushing!!
    Jacob/usa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...