Hayati Mwashabani Abdallah Liganja
Ni Miaka miwili sasa huku tukikosa upendo, ucheshi, kicheko, hadithi na mambo mengi mazuri ulotufundisha. Mama yetu mpendwa japo haupo nasi kimwili upo nasi kiroho.
Unakumbukwa sana na Mume wako George Mapango, wanao Mariam (Chuma), Eva (Hawa), Jackson (Kibabu), Patrick (Said) Rose, Richard (Richie), Mariam na mziwanda wako maria uliyependa kumwita (IA), Mkweo Deogratias, mjukuu wako Precious ndugu, jamaa, majirani, marafiki na wafanyakazi wenzako.
INNA LILAH WAINA LILAH RAJIUN.
BISMILLAH RAHMAN RAHIM
Ni Miaka miwili sasa huku tukikosa upendo, ucheshi, kicheko, hadithi na mambo mengi mazuri ulotufundisha. Mama yetu mpendwa japo haupo nasi kimwili upo nasi kiroho.
Unakumbukwa sana na Mume wako George Mapango, wanao Mariam (Chuma), Eva (Hawa), Jackson (Kibabu), Patrick (Said) Rose, Richard (Richie), Mariam na mziwanda wako maria uliyependa kumwita (IA), Mkweo Deogratias, mjukuu wako Precious ndugu, jamaa, majirani, marafiki na wafanyakazi wenzako.
Tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi.
Kisomo cha Mpendwa wetu kimefanyika siku ya Jumamosi tarehe 06 Juni, 2009 Yombo Vituka, Dar es salaam. Tunawashukuru nyote mliofika. Asanteni na Mungu awabariki.
INNA LILAH WAINA LILAH RAJIUN.
Mungu amrehemu huko aliko, zidisheni kumuombea dua kila siku na kumtolea sadaka, ni mambo peke yanayowafaa waliotangulia, na sisi tukijaandaa kuelekea huko huko, marekebisho kidogo kwenye Ayat ni kwamba inatakiwa iandikwe na isomeke hivi: INNA LILLAHI WA INNA ILEIHI RAJIUUN.
ReplyDeletejamani huyu mama aliwahi maghorofa ya ocean road?
ReplyDeletendio yeye ndugu...mmungu alaze roho yake mahali pema peponi inna lillahi wainna ileahi rajiuun.
ReplyDelete