Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya taifa ya Parole, Augustine Mrema baada ya kuembelea Gereza la Msalato kwenye Manispaa ya Dodoma Oktoba 5, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Askari Magereza baada ya kutembelea Gereza la Msalato kwenye Manispaa ya Dodoma Oktoba 5, 2016.
(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...