Baba
mmoja mabaye jina lake halikupatikana akiwa amembeba mwanae kwa mtindo
wa 'Kangaroo Style' wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza na
wanakijiji wa Singu wilayani Babati, Februari 21, 2017. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la Msingi la daraja la Bonga-
Endanachan wilayani Babati, Februari 22, 2017. Kulia ni Mkoa wa
Manyara, Dkt, Joel Bendera na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Babati,
Raymound Mushi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...