Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezi kwa kiongozi wa timu ya Freemason Fc ya Vingunguti, Sudi Rashid
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezi kwa kiongozi wa timu ya Guantanamo Fc ya Vingunguti ,Abdul Mgohela
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezi kwa kiongozi wa timu ya Msako FC ya Kigogo Kani Masumbola wakati wa hafla ya kukabidhi jezi kwa timu nne zilizo ingia nusu fainali ya Vingunguti Super Cup
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezi kwa kiongozi wa timu ya Relini Fc wa Vingunguti Halidi Kitapagala.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...