Home
Unlabelled
chemba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mungu Ibariki Tanzania,kwa mtazamo wangu naona ni jengo bora la bunge in Africa.Development.
ReplyDeletekuwa na jengo hilo, wakati treni zinaishia dodoma ni ukosefu wa akili
ReplyDeletehela ya kujenga jengo hili ingetosha kutuvutia maji uswazi halafu wao wangeendelea kutumia lile lingine
ReplyDeleteAnony wa july 30(5.56:50AM) umenifurahisha sana.
ReplyDeleteKama marekani vile. Nina uhakika kasi ya kujenga majengo ikielekezwa kwenye sehemu nyingine za maendeleo ni three years tu nasi kama marekani.
ReplyDeleteanoy hapo juu...three years nasi kama marekani?ladba South Africa...but no, we still have along way to go japo kweli maendeleo yangefanyika kwenye sector nyingine,tungesonga mbele
ReplyDeleteWana vyoo visafi lakini? Maana vyoo vya jengo la Dar es Salaam haviingiliki! Vichafu!
ReplyDelete