jamaa akichana mbavu (literari) kwenye mnada mpya wa kizota

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2006

    Ee bwana hapo order zake zimeshamaliza huyo mbuzi na mwingine anachinjwa, natamani nipasue kioo nipate zile mbavu, yule ndio mbuzi siyo milam ya huku ambayo hata radha hakuna.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 31, 2006

    Eeeh michuzi wee ndugu yangu mbona watufanyia vurugu wenzio, maana nilipoona hii picha nikatamani hata kulia kwa kumbuka utamu wa nyama za home yaani freshness siyo huku tulipo tunakula manyama hayana hat taste kwa kudungwa midawa, na kukaa kwenye fridgeB
    yaani balaa tupu .

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 31, 2006

    wenzangu hapo juu nawasapoti kabisa maana mie nimekumbuka mdanani acheni tu. Yaani ikifika jumamosi usipoenda mnadani unaksoa raha kabisa japo kanyama ka sh 200 kanatosha. Huku tulipo huoni radha kabisa bbq hainogi kabisa unakual basi tu ila home meat ni the best .Nimekumbuka sana home kwa picha hizi za Dodoma mweeee!!!

    ReplyDelete
  4. Naona wanablogu wengi wamesifia hizo nyama ila mimi naona inaandaliwa kwenye mazingira ya uchafu sana , Nyama inaandaliwa juu bati na hakuna kitu chochote cha kuzuia nyama hiyo isipigwe na vumbi la dodoma !

    Ni jambo la kushangaza wabunge ambao tunategemea wawe na awareness kubwa kwenye masuala ya afya wanakula sehemu chafu kama hii !

    ReplyDelete
  5. We Anon 8:19:30 unajifanya msafi kisa uko ulaya,mbona hatusikii watu wamekufa kwa ajili ya sehemu nyama ilipoandaliwa?kama ni hivyo basi wamasai wote wangeshakufa.Mkishafika ulaya basi mnaua home...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...