Home
Unlabelled
joka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndani ya Tanzania kumbi za starehe zinaota kaka uyoga, iPod zinazagaa kama mchwa kichuguuni, lakini treni iliyokuwa inafika kigoma kwa zaidi ya miaka 80 iliyopita, inaishia Dodoma. Viwete wa akili bado wanasema "bongo bwana, kumekucha, maendelo siku hizi" Pumbavu, maendeleo ya ujinga. Hakuna mabehewa, mapesa kibao yamejenga ukumbi wa bunge ambao haukuwa unahitajika kwa sababu ukumbi wa zamamni ulikuwa unakidhi mahitaji ya ki-bunge. Cha ajabu hakuna atakayewajibishwa.
ReplyDeleteHili gari moshi bora liishie huko huko maana Dar kila siku lilikuwa linaishia kugonga gonga hovyo mikweche ya watu,kazi ilikuwa ukutane na que ya magari halafu uwe umenasa katikati ya reli halafu lenyewe ndio liwe linaingia kaazi kweli kweli, kama mtu anataka kwenda Dom mabasi kibao kila saa yapo, sasa hivi kwenye reli kwa raha zetu ukifika unakatisha tu
ReplyDeletejamani hebu JK wafanye la amana kuhusu transpot in Tz yaani tushukuru mabasi sio treni ni ovyooooo !! ukiangalia nchi za wenzetu reli wanatilia mkazo inakwua moja ya usafiri unaohesabiwa daily sio kwetu daa!!! kumezidi na kama unakaa mikoa ya mbali ndio ulie tu na barabara ya dom dar mhh basi tu airport ya dodoma imekufa sasa makao makuu gani hata njia ya kufika hapo ni kimbembe!! inaboa
ReplyDeleteHivyo kwa nini usafiri wa reli Tanzania usifungwe tu tukawa kama Burundi tu? Huu si upuuzi tu jamani kutukanana tu huku sasa.
ReplyDelete