Home
Unlabelled
vita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
michuzi, nafikiri ni muda mzuri kurudi kwenye ile topic ya omary kimbau............nafikiri wale tulioshiriki ule mjadala tunaweza kukumbuka kuhusu baba na mwana.
ReplyDeletenaona sasa kabakia kinje tu kuingia bungeni maskini kama ulikimbia umande ndio hivyooo tena angalau hata kadiploma digiriii bunge ungeliona maana ni kwa mwendo wa kupeana hivyo vye na kula kwenda mbele...
ReplyDeletewatanzania tuna silika mbaya ya kudharau watu kwasababu awana degree,mtu kama kinje atua aliyopiga kimaendekeo ni kubwa,ni maprofessor wangapi tumeona wanakimbilia jembe nalinawashinda,wacha watanzania wengi walioko U.K na master zao bado wanaosha sahani na kubeba mabox, kinje akitaka ubunge anaweza
ReplyDeleteNani anasema uchifu bongo uliisha watoto wa Nyerere, Kawawa, Malecela,Mwinyi,Karume nk wote wamepewa uongozi kwa sababu ya title za baba zao, kwahiyo hata watoto wa Kingunge wanaweza kupata lakini huyu Kinje sidhani labda yule anayeitwa Mpilingondo
ReplyDeleteHao watoto wa vigogo mnaowasema sio kwamba wanapendelewa,mfano kinje anauwezo wa kuwa wavivu kama nyie au hata kwenda zake ughaibuni kuishi lakini yuko haphapa nchini na anafanya miradi mbalimbali,hao waliokuwa kwenye siasa mfano huyu Vita Kawawa ubunge kagombea na kampeni kajipigia,mtoto wa mwinyi pia hivyo hivyo,Marehemu Ipi vilevile alikuwa mstari wa mbele ,nyiekaeni na uvivu wenu na kuanza kulalamikia watoto wa vigogo,mtakufa maskini tu.
ReplyDeletewakishughulisha tabu wakikienda ughaibuni balaa, wakizunguka mitaani ndio mama weee sasa hebu waambieni wenzenu wafanye nini ili muone ndio wanafanya kitu bila... hebu wapeni nafasi wapumue kidogo.
ReplyDelete