mali mpya kwenye safu ya uimbaji twanga intaneshno. havumi ila wamo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Janeth Isinike, huyu dada toka aje twanga bado hajatunga hata beti moja kwenye bendi hii, yeye anaimba copy za Jesca Charles

    ReplyDelete
  2. NAKUNGOJA NIKUONE PICHA ZAKO UKIWA KAMA ULIVYOZALIWA KWENYE EMAIL YANGU.

    ReplyDelete
  3. kwani jessica ameondoka?

    ReplyDelete
  4. Jamani Jesica Charle ameondoka?this mdada she is v.cute jamani,kwanza yupo natural,dada usjejiharibu kama wenzio hao na mikorogo.unapendeza hivyo ulivyo.maana hata mwenzio Jesica mikorogo ilishazidi mpaka kero!
    keep it up.your pure african woman!!

    ReplyDelete
  5. mbona mtu mwenyewe,bibi kizee!!

    ReplyDelete
  6. inamana huyo ndiyo mrithi wa jescal ndani ya twanga?huyo inaonekana akija kutunga nyimbo yake itakuwa nzuri kama alivyo yeye mwenyewe

    ReplyDelete
  7. Huyu mpeni miezi kadhaa utakuta ashajichuna ngozi na mikorogo ya Congo...Atajiharibu kishenzi

    ReplyDelete
  8. Halafu Jesca miezi kama hii mwaka jana alikuwa na mimba kubwa tu, sijui alijifungua salama? Au mtoto ndio anamweka bize!

    ReplyDelete
  9. Wee narubumenye unaangalia kwa kutumia pua au mdomo au macho? We mkorogo wote huo bado unaita pure african woman? Ni mkorogo mtupu!!

    ReplyDelete
  10. ana mkorogo sana hapoo sema tu umemkubali...

    ReplyDelete
  11. ana mkorogo sana hapoo sema tu umemkubali...

    ReplyDelete
  12. Mnamuandama dada wa juzi tu huyu, sasa kama watu wangetaka kuendelea si wangefanya hivo, sasa mbona aisha yamemshinda alikua anajidai kuimba hata sijui kaishia wapi au ndio ulikua ubishoo tu,lakini alijua akiwa stejini muda mrefu atashindwa kupata vya chapchap. Maana tena yeye ndio angefata nyayo nzuri maana kaanza kuimba na Jesca tangu Kilimanjaro connection zamani, watu wengine bwana hawana tamaa kabisa ya kujiendeleza, mara karukia filamu, kaacha mara katoa single yake, basi tu ili mradi maruemarue, ila vingine anaweza kuwa mstari wa mbele kama kupiga mapicha ya ovyo, hayaa akalage baho. huyu dada mpya atafika mbali tu mumpe muda na uhai atatunga nyimbo nyingi mi bado na imani nae.

    ReplyDelete
  13. ama kweli wewe mjinga hapo juu hujui mkorogo!!huyo dada hana mkorogo!!wewe kila mtu mzuri unadhani ni mkorogo tuu!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...