Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB,Dr. Charles Kimei akipokea tuzo ya 'Superbrands' kwa benki bora Tanzania, kutoka kwa Mkurugenzi wa Superbrands Afrika Mashariki, Bw. Jawed Jaffer katika sherehe zilizofanyika katika hotel ya Holiday Inn Jijini
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dr. Charles Kimei akipokea tuzo ya 'Superbrands' kwa benki bora Tanzania, kutoka kwa Mkurugenzi wa Superbrands Afrika Mashariki Bw. Jawed Jaffer.katikati ni Mkurugenzi wa Masoko wa Benki hiyo Bi.Tully Esther Mwambapa
Wafanyakazi wa Idara ya Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wao Bi.Tully Esther Mwambapa na Mkurugenzi wa SuperBrands Bw.Jawad Jaffer katika sherehe ya kupokea tuzo ya benki hiyo kuwa benki bora ya Superbrands kwa mwaka 2009-2010
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dr. Charles Kimei akipokea tuzo ya 'Superbrands' kwa benki bora Tanzania, kutoka kwa Mkurugenzi wa Superbrands Afrika Mashariki Bw. Jawed Jaffer.katikati ni Mkurugenzi wa Masoko wa Benki hiyo Bi.Tully Esther Mwambapa
Wafanyakazi wa Idara ya Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wao Bi.Tully Esther Mwambapa na Mkurugenzi wa SuperBrands Bw.Jawad Jaffer katika sherehe ya kupokea tuzo ya benki hiyo kuwa benki bora ya Superbrands kwa mwaka 2009-2010
Mkurugenzi right or left ?
ReplyDeleteAS A NEW CUSTOMER OF CRDB BANK...
ReplyDeleteI DO SAY YES CRDB SERV. IS SUPERB AND THEY DESERVE THE AWARD......
KEEP IT UP CRDB.
Pongezi kwa Dr. Kimei,
ReplyDeleteKwa kuongoza moja ya benki zinazofanya kazi safi nchini.
Ahsante sana, endelea hivyo hivyo mzee, tunaitaji mabosi wengi kama wewe