Mwanalibeneke Maggid Mjenjwa akiwa na familia yake na mdau mwingine eneo la NSSF Miyomboni mjini Iringa kama alivyonaswa na kamera ya Francis Godwin mchana huu akiwa katika heka heka za kila siku. Maggid ni mwanzilishi wa blogu za mikoani ambapo baada ya kurejea kutoka Sweden na kuamua kufanya kazi zake vijijini hususan vya mkoa wa Iringa, amehamasisha wengi wa mikoani na vijijini kuanzisha Libeneke
Home
Unlabelled
Maggid Mjengwa: muasisi wa libeneke la vijijini na mikoani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...