Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana
na mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Museveni mara baada ya kumaliza ziara yake
ya siku moja Chato mkoani Geita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati akiagana na mgeni wake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku moja
Chato mkoani Geita.
Rais wa Uganda Yoweri Museveni akizungumza na
wananchi wa Nyabilezi kabla ya kuondoka na kurejea nchini kwake Uganda. Rais
Museveni ameahidi kujenga madarasa saba kwa ajili ya Shule ya Msingi Nyabilezi
Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza mgeni wake Rais wa Uganda
Yoweri Museveni wakati akielekea kupanda ndege mara baada ya kumaliza ziara
yake ya siku moja Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri
Museveni wakizungumza na wanahabari mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Chato
mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia kwaya ya watoto wa Shule ya
Msingi Kalembo Umitashunta mara baada ya kumsindikiza mgeni wake Rais wa Uganda
Yoweri Museveni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia kwaya pamoja na mgeni wake Rais
wa Uganda Yoweri Museveni wakati akimsindikiza . PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...