Mwananchi, Zubeda Abdallah Kombo akielekezwa na Karani wa Mahakama ya Mwanzo, Kimara,Judith Mwakyalabwe jinsi ya kupata hati ya kiapo.
Karani wa Mahakama ya Mwanzo, Kimara, Judith Mwakyalabwe, akiendelea na utendaji kazi ndani ya Mahakama Inayotembea wakati Mahakama hiyo ikitoa huduma eneo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, iliyopo Kibamba jijini Dar es Salaam.
Gari ya Mahakama Inayotembea likiwa katika eneo ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Ubungo, iliyopo Kibamba jijini Dar es Salaam likiendelea kutoa huduma za kimahakama.
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mwanzo ya Kimara, Mhe. Geiza Mbeyu, akimsikiliza kwa makini mwananchi ambaye alikuwa akiuliza jambo kuhusu Mahakama Inayotembea katika eneo la Stendi ya Kibamba iliyopo jijini Dar es Salaam.Picha na Aziza Muhali (SJMC)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...