Home
Unlabelled
dk. shein ziarani kagera
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KWANINI VIONGOZI WETU HUWA WANAPENDA KUONEKANA KUWA NI WANACCM ZAIDI KULIKO VIONGOZI WA WATANZANIA WOTE?
ReplyDeleteHIYO KOFIA NI YA MZEE SMALL RAFIKI YAKE MAJUTO MBONA MNAMPA MAKAMU WA RAISI NYIE WASHOMIRE?? TEH TEH TEH!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteHiyo sio baraghashia bali ni kitunga.Uliza wataalamu wa pwani wacha kubandika usikokijua.
ReplyDeleteinaitwa kofia ya TARBUSH acha kupotosha kizazi kipya kitunga cha sokoni mshikaji
ReplyDeleteKwa nini mitambo kama hii ya kumwagilia isiwekwe katika kila vijiji vinakopitiwa na mito ili kuwawezesha wakulima kulima kwa umwagiliaji na kuondokana na njaa???????????????????????
ReplyDeletehii kofia ni kivazi cha wazanzibari wa zamani hongera mheshimiwa.
ReplyDeleteTena wazanzibari hao ni askari ambao wakivaa kombati/magwanda yao ya kaptura na kirungu wanawekelea hiyo tarabushi inakuwa mujarab kweeeli.
ReplyDelete