Siku ya Jumapili 26.08.2012 katika maonyesho ya Alafia Festival,mjini Hamburg, Kulivamiwa na kikosi cha Ngoma Afrika band aka FFU,bendi hiyo maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya ilikua na kazi moja tu ya kuwadatisha akili washabiiki katika onyesho la Alafia mjini hamburg!
Ambapo washabiki walijikuta wakidatishwa akili na mdundo wa FFU.
Ngoma Africa band wanashikilia Tuzo ya kimataifa ya IDA-International Diaspora Award, pia wanatanba na CD mpya Bongo Tambarare, wasikilize at www.ngoma-africa.com
ffu kazi hipo,naona mmehamua kufanya kweli, virungu mtindo moja
ReplyDelete