Home
Unlabelled
kama baba kama mwana?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
great photo. Especially the colors
ReplyDeletehttp://billpowers.myblogsite.com/
ReplyDeleteMichuzi, hongera sana. Mkazania aendeleze juhudi hizo mpaka chuo kikuu.
ReplyDeleteDalili zinaonyesha kinchwani ametulia, matatizo huanza pale anapoanza kujichanganya na dunia miaka 10 ijayo, cha muhimu hapo ni kuwa naye sambamba sasa hivi, mpangie mfumo wa kupenda kusoma, binafsi napenda mfumo aliopangiwa Oprah Winfrey na baba yake kwamba kila wiki ni lazima awe amemaliza kusoma kitabu alichopewa na kuwakilisha muhtasari wake, na kila siku ni lazima alete misamiati mitano mipya kwa baba yake kabla ya kula, vinginevyo analala njaa. Michezo ni muhimu pia kwa watoto, lakini kumuandaa pia ni muhimu na lazima, hivyo ukimpangia mtoto ratiba nzuri ya kusoma na kutokumpa nafasi ya kwenda kucheza kabla ya kumaliza kitabu ulichompa itamweka mtoto katika mstari na utaona matokeo yake. Samaki mkunje.....mkazanie.
ReplyDeleteNaona mkuu,mambo sio mabaya Mzee mzima Kikwete ana kasungura kake kanasoma hapo sio?
ReplyDelete