Sura Mpya ya Neshno stedium baada ya ukarabati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hivi ulikuwa mbaya zaidi ya sasa? Mbona naona bado hoi?

    ReplyDelete
  2. Jukwaa la watoto wangu wa msimbazi naliona... naomba wawe wanamwagilia maji hizo nyasi, kiangazi naona kimeshaingia.

    ReplyDelete
  3. Uwanja huu umetengeneza mapesa mengi kupitia kandanda kuanzia ligi kuu mpaka michezo ya kimataifa kama kombe la wasindi na klabu bingwa ya Afrika. Lakini mapesa haya hayakutengwa kukidumisha kiwanja hichi. Tusivyo na haya wala aibu tunautumia uwanja huu kwa michezo ya kimataifa na pia tunautumia uwanja huu kwa shughuli za kitaifa kama magwaride ya Muungano na Uhuru ambapo huwa tunawaalika viongozi na mabalozi wa nchi za nje kuja kujionea uwanja wetu wa Taifa.

    Mungu Ibariki Tanzania,
    F MtiMkubwa Tungaraza.

    ReplyDelete
  4. Mwandani: kumbe wewe rangi nyekundu sio? Siku hizi mmekwisha kabisa.

    Nami nazionea huruma nyasi hizo. Zinaonyesha zina kiu hasa.

    ReplyDelete
  5. Na mimi naliona jukwaa la mabingwa wa sasa wa ligi "Wanjano wa Jangwani"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...