Home
Unlabelled
mitindo bongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyo ngedere kafanana na hao mabintimaringo
ReplyDeleteHuku sasa ni kukiuka utu wa mtu unawezaje kumfananisha ngedere na hao mabinti ambao jamaa yetu kawaita bint maringo kuna haja ya kuwekana sawa katika hili
ReplyDeleteHivi suala la haki za wanyama halipo hapo tena? Hapo ni ukumbini katika mashindano wanyama pori wanafata nini. Sheria ya utalii inazungumzaje siku hizi.
ReplyDeleteJamani, mimi ninarudia tena hivi kweli sheria ya kuwarinda wanyapoli inafaa kule au wamebadilisha mtindo!Hao mabinti wanashindania nini kwanza?Huyo ni mtindo mwingine jamaa mawaziri wameunda ili kula pesa za kujiendeleza nchini.Ingekua bora wakawasomeshe hivo vimwana kuliko kuwadhalilisha hivo!!!!Think twice wahusika!
ReplyDelete