nikiwa na koffi olomide alipokuja bongo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Papa Michuzi umepozi na wanene wengi sana bila shaka unaweka hizi picha kwenye maktaba yako,Papa hivi ile Airport ya Mbeya imekwisha au ndo kwanza inajengwa naona sielewi kama una photo zake tuwekee tuone

    ReplyDelete
  2. Anony umenigusa sehemu ambazo huwa-ga siguswi mara kwa mara. Michuzi huishia Dar, Zanzibar, Dodoma. Halafu akiwa na assignment Butiama, Kigoma. Sio kosa lake. Nasisitiza sio yeye bali ni hao wanaompangia kazi. Wamtume Mbeya kuna nini. Mbeya ni sehemu ya kwenda kuchukua kura tu basi. Halafu tutaonana baada ya miaka mitano. Tena kwa miaka 10 ilikuwa ni sehemu ya kupeleka wakuu wa mikoa walioshindwa katika ubunge ili nao 'wajikimu'. Hakukua sehemu kwa kumpeleka mtu serious kama akina Njoolay, Makamba, Mashishanga, Anatoli Tarimo na wengine. Ukuu wa mkoa Mbeya ulikuwa zawadi tu. Umeshasikia jinsi Mramba alivyohodhi ardhi kando ya huo uwanja wa ndege katika miaka yake mi-5 ya ukuu wa mkoa?

    Mabosi wake wasipomtuma au yeye mwenyewe kutotembelea (ingawaje kama mfanyakazi mwingine lazima yuko bize) au asipomuomba mfotoaji yeyote aliyeko Mbeya amtumie, nitawaletea mimi nitakaporejea Mbeya mwezi wa 7.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...