Home
Unlabelled
mchango wa hiari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kinanda cha waziri ally na sauti ya mkewe vinakumbusha-ga mbali sana
ReplyDeletehao ni wataalamu bwana. ufanyaji wao wa kazi unafanana na Bebe na mkewe Cece Winans..
ReplyDeletetunapokwenda inaonekana Muziki unakuwa ni kazi kama nyengine! inafurahisha sana!
Swadata Mark,Cha msingi suala la haki miliki liangaliwe kwa Ari mpya na kasi mpya kwani kwani litasaidia kutoa hamasa kwa wanamuziki kuendelea kuifanya vyema kazi yao wakijua wazi kua jasho lao halipotei kama ilivyo kwasasa
ReplyDeleteMark,
ReplyDeleteNadhani umekosea kidogo BeBe na CeCe ni mtu na kaka yake hebu wasake tena uone, halafu Vicki Winans ndiye aliyeolewa katika familia hiyo na Marvin Winans.
Jamani familia hii imebarikiwa uimbaji.