usijali... tupo kwenye pati ya kuwaaga TID (kulia) na Ray C (katikati) ambao leo usiku wanapanga KLM kuelekea ulaya ambako watakuwa na maonesho kadhaa mjini berlin (march 24) na halafu Athens, kisha Stockholm na brussels. wa kulia ni mwanamitindo fide ilanga na wa pili shoto ni mtangazaji wa channel ten, jina lake nimesahau (nasikia miguno, hamna kitu) kidogo..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Hawa jamaa show yao ilifutwa mara ya kwanza naona sasa hivi wale mapromota wa kubip wameamua wafanye kweli.Angalia web hii kuona ratiba yao (WWW.MZIBO.NET) Na huyo mtoto wa Iranga mbona kanenepa hivi,bado model (sijuhi kama zile nguo zitamtosha tena)...Isaac Mgwasa

    ReplyDelete
  2. bwana michuzi mbona unatuchanganya? huyo unaesema yuko kulia hayuko kulia yuko kushoto, na unaesema wa pili toka shoto hayuko kushoto yuko kulia, tafadhali usielekeze ukiangalia upande wako wewe kwa sababu upo kwenye picha angalia upande wa msomaji au muangaliaji!!
    Samahani sana lakini.

    ReplyDelete
  3. Michuzi, denda linakutoka hapo...

    ReplyDelete
  4. Huyo demu wa Channel Ten anaitwa Salma Msangi, ana nido kali huyo.

    ReplyDelete
  5. Tunawatakia kila la heri hao wahusika

    ReplyDelete
  6. hawa wanabongo fleva, ni wanamuziki wa kweli au ni ukali wa maisha tu, ndio unafnya watu wajiajiri wenyewe? maana ni utitiri siku hizi.

    ReplyDelete
  7. Hilo lenye nido mimi ndiyo linanimaliza. Sijui kama litakubali kuja huku Kimanzichana.

    ReplyDelete
  8. hilo linakitambi kaa michuzi ,, haliji huko ng`ooo

    ReplyDelete
  9. anony hapo juu umenipa raha nimecheka mpakaaaaa, mchokozi sana wewe. alilala na jamaa mmoja anaitwa ndama mtoto wa ngo... jamaa akamringia siku ya pili yake. likitambi akampigia simu jamaa akamwambia kwanza ujisifie sana umeweza kulala na supermodel.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...