mgambo wa jiji wakimpa kibano machinga aliechelewa kuondoka mtaani. vibanda kibao vimevunjwa lakini chinga bado wapo kibao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Rinaona wameandika NO SMOKING RENYEWE RINAKOJOA, HEBU RIARESTI

    ReplyDelete
  2. Sasa michuzi hawa waut wataenda kula wapi??? Au serikali imewatafutia sehemu mahalumu?

    ReplyDelete
  3. kuna sehemu maalum serikali imewatengea lakini wateja hawapo wengi kama katikati ya mji.

    ReplyDelete
  4. Masikini chinga wa watu. Anatia huruma jamani. Utakuta mwenyewe kaaga asubuhi kwa mkewe nyumbani anakwenda mzigoni...wandugu tuwe na huruma wajameni.

    ReplyDelete
  5. Kula yao haiwezi kuwa sababu ya kuvunja sheria. Kama ni hivyo hata hao wenye vijishamba vyao kwenye vyanzo vya maji nao watadai wakale wapi. Hivi kwa nini wabongo hatuwezi kujifunza kwa wenzetu wzlioendelea? Madai ya hakuna wateja huko ni upuuzi mtupu. Nafikiri ni wakati sasa itungwe sheria muuzaji na mnunuzi washughulikiwe kwa kufanya biashara mahali pasipo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...