Home
Unlabelled
dada
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyo ni mmasai
ReplyDeletehuyu ntu wa kwetu kabicha kama si wa lukuledi/nsinjaili!!! namaanishi lindi au ntwara
ReplyDeletesingida line hiyo
ReplyDeleteHuyu Mbongo, kajichubua kwa sana, miaka ya nyumaa alikuwa ameolewa na jamaa mmoja misheni town mmoja pale dar anaitwa David toka Tanga. Jina la huyu dada anaitea SINYOLITA...
ReplyDeletemichuzi mbona umeniweka hewani jamani, nimekukosea nini?
ReplyDeleteacheni yote jamani kwa huyu binti NIMEPENDA MENO YAKE.
ReplyDeleteMie sitii neno kwani namfehemu vilivyo huyu. Au unabisha Michuzi.
ReplyDeleteWajemeni ni wa kule kwetu Musoma.
ReplyDeletetruly beautifully african woman.
ReplyDeletesio kweli huyu dada hajajichubua hiyo ni rangi yake
ReplyDeletemichuzi ulisema jmt ndio deadline kama sikosei unatupa mahala atokako dada huyu vipi sasa mimi nilisema dodoma nimepatia?
ReplyDeleteHuyu dada anaonekana ana roho nzuri sana! Kila nikimwangalia na mimi kama yeye najikuta natabasamu. Ninahisi anatokea Singida.
ReplyDeleteNilisema Tanga
ReplyDeleteHey Michuzi! Huyo anatoka Chanvulasole , Pwanii! Oyah Michuzi unajua picha yako kali ya muda wote ni ile Athumani China ana mzungusha Hamisi Gaga, nadhani miaka ya tisini mwanzoni(Yanga 3 simba 1). Yani kama utaniwekea picha ile basi nitakusifu.
ReplyDeleteWE DADA,MH!HIYO MIDOMO NA MENO VIMETULIA.VIWANGOOOOOOOOOOO!
ReplyDeleteWewe huyosiyo Sinyorita, huyo dada hapo ni mzuri lakini Sinyorita ni mzuuri zaidi ya hapo. Na anayesema huyo dada kajichubua, hapana huyo dada ni rangi yake
ReplyDelete