Home
Unlabelled
hili nalo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mbona bovu
ReplyDeleteWacha urongo Michuzi. Tunajua angalau ki-Hiace unacho (ulituwekea picha humu wakati fulani). Tunajua pia unapenda kujifanya myenyekevu hadi kudiriki kutuongopea eti unaishi Uswahilini Kariakoo na kutubandikia picha ya nyumba ya kupanga ya Uswahilini.
ReplyDeletelincoln contintental
ReplyDeleteWabongo bwana sasa hilo gari kalitoa marekani kwenye junk yard leo watu wanapanda harusi. Hivi litafika huko wanapoenda sasa?
ReplyDeleteHilo gari ni classic. Hayatengenezwi tena kwa hiyo vigumu kuyapata
ReplyDeleteWacha kujifagilia wewe MICHUZI. juzi juzi umetuwekea PiCHA ya gali lako lenye mastika kibao, na ukatuelezea stika zoote maana yake. Usitake kutuzingua
ReplyDelete