30/3/69: karume akiwa na mabalozi wetu nchi za nje alipokutana nao unguja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Namuona Marehemu Idris Wakil, mzee Jumbe na salim Rashid.

    ReplyDelete
  2. Huyu wa kwanza mstari walioketi nadhani ni wa kwanza kushoto niKassanga Tumbo, wa pili Alhaj Abdu Jumbe, wa mwisho Marehemu Hassan Diria. Waliosimama watano toka kushoto ni Balozi Salim Ahmed Salim, na wa kumi na mbili ni Hayati Mzee Idris Abdulwakil. Halafu kati ya waliokaa wa tatu toka kulia kama namfahamu. Michuzi naomba jina lake kupitia barua pepe.

    Ni miye rafiki yako,

    F MtiMkubwa Tungaraza.

    PS/Jumamosi 22.04 minara ya saa nne usiku nilikupigia simu lakini hukujibu. Tutafutane!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...