mbongo anaweza kula sumu afe kwa mduara - wikiendi njema...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Jamani dada wa viatu vyekundu naomba ushike magoti yako yote mawil, Haya twende sasa mpaka chini,mpaka chini, mpaka chini. Jamani mwanamke kiuno na huyu dada anacho.

    ReplyDelete
  2. Ahhhh, jamani wee dada mwenye viatu vyekundu una radhi weye!! Ulivyobong'oa umeniacha hoi taabani! Sema unataka nini chini ya jua hili weye dada miye nitakupa! TUNDA lako tamu!! Ni ASALI!! ASWALI!!

    ReplyDelete
  3. hii ilikuwa wapi?

    ReplyDelete
  4. jamnai hapa ni wapi kwanza? maanake naingia bongo mwezi ujao mwanzoni.hapo ni starehe tupu ndugu yangu.

    ReplyDelete
  5. Sasa jamani Michuzi naona umeamua kututia hamasa. Wengine umri wetu umekwenda sana mpaka tuna wajukuu. Wakati wa ujana wetu haya mambo hayakuwepo kabisa, vijana siku hizi mnafaidi!

    ReplyDelete
  6. Naomba serikali ijaribu kupitia upya sheria ya ubakaji kwamba kukiwa na ushahidi wa mazingira kuwa mbakaji alihamasishwa kutenda kosa hilo basi aachiwe huru

    ReplyDelete
  7. Lazima watyu walitoka huko na hamu ya kunanihii!

    ReplyDelete
  8. Mzee mwenye mvi kwa pembeni hapo haamini macho yake. Aangalie tu asije akamsahau mama mpigi.

    ReplyDelete
  9. mama mpigi hapo amesha sahaulika ndugu yangu. unafikiri hiyo chuma mboga ya huyo dada mchezo?

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 02, 2006

    Kuna mtu nadhani atakuwa mtangazaji wa Channel Ten TV Station amewekwa mtu kati. Hii itakuwa "unanitega"..

    ReplyDelete
  11. Jamani huyu mwenye nguo ya zambabarau si elizabeth Urio alikuwaga Miss Morogoro na huyo aliyepiga kichuma mboga si anaitwa Jack aliolewa na Jerry kwasasa kachika?Au nimekosea

    ReplyDelete
  12. dada ulokaa mkao wa kufaguana usikae hivyo tena pliiz hujui nnakuaje mimi!! nakuwa nasisimkwa dadaangu nahisi kama mdudu m'baya kanipitia, dah yaani naumiya hassa shhhh.... aaahhhhh.... mmmhhhh.... eeeehhhh....ah jamani!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...