Home
Unlabelled
mtu wa watu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jk nakupa pongezi kuwa karibu na wananchi
ReplyDeleteThis is the President who is take it to the next level. Lets give him....
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteNina swali moja tuu kwako , hii picha ilipigwa kabla ya JK kuwa Rais au baada !
Natanguliza shukrani !
eeee kikwete wewe kiboko!!!
ReplyDeletehapa wapi Michuzi?
ReplyDeleteHii itakuwa kabla ya uchaguzi vinginevyo ungeona wapambe wake kwa wingi.
ReplyDeleteKufanya hivi tu haitoshi, mwisho wake nini? Hao alionao hapo wanafaidika nini na huko kujichanganya nao. Haya ndiyo mambo ya matnaga kwenye msiba, matokeo yake watu wanatafuna vi mali vyote vilivyokuwepo na msiba unapoisha familia hiyo inabaki maskini vibaya.
Mheshimiwa Michuzi-
ReplyDeletePicha ya namna hii ni priceless, na kazi unayoifanya especially kwetu sisi tulio ughaibuni ni priceless. Nakutakia maendeleo na mafanikio mengi but above it all nakutakia mafanikio katika kuendelea kufundisha na kuburudisha kupitia picha zako!!
Michuzi samahani lakini sielewi unaposema mtu wa watu unamaanisha nini kwasababu hajavaa viatu,au kwasababu ameenda kuwatembelea watu hao sijaelewa nifafanulie kama kuvua viatu ndio kuwa mtu wa watu? au kuwatembela hao watu au vyote?
ReplyDeletehapa jk alikuwa waziri wa mambo ya ndani na mbunge wa chalinze, wakati wa mafuriko ilopita ambapo ilibidi atembelee kuona atasaidiaje. magari yalikuwa hayafiki na akadunda kiasi cha km. 10 hivi kwa mguu
ReplyDeleteUmemchanganya na Lyatonga Mrema nini? sijawahi kusikia mtu anayeitwa Jakaya Kikwete waziri wa mambo ya ndani.
ReplyDeletemichuzi umechanganywaaaaaaaaaaa....
ReplyDeletegood day
Tunaendelea na kampeni baada ya uchaguzi. Badala ya kujitayarisha kuwajibu wapiga kura kazi 500,000 alizoanzisha (kazi millioni 1 kwa mwaka) tokea aingie madarakani, anaenda kuhangaika na mchovu mwengine, Mugabe.
ReplyDelete