Home
Unlabelled
ngangari kinoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
rasi gani huyu anapenda kuvaa nguo za marangirangi sana huyu mtu ananiboa!!!!
ReplyDeletekila mara nguo ina rangi nyekundu,mara maua ya pink,ohh zambarau imechanganyika na kinyani kibichi naipenda CUF lakini president sioni kama anadeserve bwana unajua kuna vitu vidogovidogo sana vyaweza kukupa picha kamili ya mtu hata kabla hujatafuta sana undani wake.
Hovyo!!! huna upenzi wowote wa CUF wewe acha kamba na saikolojia yako feki ya kufahamu wat kwa undani.
ReplyDeleteha ha ha ha ha anony hapo juu mbona umeongea kwa dukuduku hivyo? hata mfanyeje hilo licuf halishindi hata kwa dawa mmezidi na nyie..makelele mengi hamna kitu embu tuondoleeni bughudha sie.
ReplyDeleteMbona Kiwete hakuachia utamu na hata akatumia mabillioni ya Wahindi na Waarabu kuunyakua? Walala hoi lazima mlipe hizo hela za magabacholi zilizompeleka Kiwete Ikulu.
ReplyDeleteWanaojiita wanamtandao wanachuana na vibabu na wachovu wa CCM... Kaa mkao wa kula CCM iko njiani kumomonyoka.
ebu acha tuhuma za kikereketwa we aony hapo juu......
ReplyDelete