Home
Unlabelled
sauti za bongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wacha wewe!
ReplyDeleteJuzi juzi nimeiibua kaseti yangu ya Viva Frelimo. Nilikuwa nasikitika kwamba Abdallah Ezzah kaipoteza kumbe mshikaji mmoja alikuwa kaiazima bila kusema. Halafu uzuri wake akaihamishia kwenye CD. Kwa hiyo sasa nina kaseti na CD ya Viva Frelimo!
Michuzi, huna Viva Frelimo kwenye Maktaba yako! Unabisha?
F MtiMkubwa Tungaraza.
Hapo umenigusa MICHUZI
ReplyDeleteHawa wawili kwa kweli wamejaaliwa sauti hapa Tanzania si utani. Nani asiyejua umahiri wa Shakila kwenye nyimbo kama hiyo aliyoitaja Mti Mkubwa au Macho Yanacheka Moyo unalia. Bitchuka ndiyo usiseme.
Oyaa Wajomba hebu niasaidieni kidogo hivyo Bitchuka mtunzi mzuri wa nyimbo?? Maana mimi katika nyimbo zake najua ule Fikirini tu hebu wajomba nipeni mifano ya nyimbo nyingine alizozitunga huyu mjomba. Kusema kweli kwa sauti tu na kuimba huyu mjomba hatari sana.
ReplyDeleteAli Pembe - Gomigo
bwana shemeji we vipi mbona watuwekea picha mbilimbili mala tatu tatu.fanya makeke.bwana michuzi umetupata picha moja inatosha.
ReplyDeletemimi mzungu - nisamehe, siwezi kuongea kiswahili vizuri, na nimesahau maneno mengi. nataka sana sana kupata maneno ya nyimbo, Macho Yanacheka, Moyo Unalia. Kama mtu yo yote anajua ile maneno, labuda anaweze kuandika nyimbo hapa, na nitaweza kusoma. Asante sana kama unaweza kunisaidia!
ReplyDeleteai seee! hapa sasa michuzi umeleta mambo yenyewe.Huyu Shakila ambae mimi ninamuita Shangazi amejaliwa sauti na ana kipaji cha kua muimbaji marufu sana.hey,mimi nina nyimbo hiyo na sijaweza kuitoa kanda hiyo ndani ya gali kwani inanisaidia kudrive vizuri.hongera Shangazi Shakila!
ReplyDeletemichu jama wa kizungu mbona hakuna aliyemsaidia si kaomba jamani,acha nishai michu na wana blog kama mnaijua hiyo nyimbo hebu mjibuni jamani
ReplyDelete