hassan ambaye ni mwana wa tx moshi william akipokea toka kwa teweli teweli wa kampuni ya sigara tuzo ya utunzai bora kwa niaba ya baba yake mwaka jana. hassa hivi sasa naye amejikita kwenye bongofleva na anatarajia kutoa singo zake kadhaa hivi karibuni. ana sauti nzuri kama baba yake na nyota ya kupendwa anayo kwani ana nidhamu ya hali ya juu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. huyu teweli anapendeza.

    ReplyDelete
  2. nyie mnaokimbili ughaibuni mbona kuna vijana wadogo tuu kama kina teweli wanafanya kazi za maana, nyie mtakaa huko mpaka lini bila ya kuupa mchango nchi yenu.

    kwa sababu kama mtu unaamua kutaka au kufanya mabadiliko lazima uwepo pale kimwili ili kuonyesha tofauti.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...