Home
Unlabelled
magesse
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu hana kashfa kabisa za ngono au nani anabisha
ReplyDeleteWe anony mchokozi;unataka nini?Watu humu wanakosa cha kubisha?Au unataka dada wa watu aanzishiwe songombingo?Mie huko sipo,ila nampongeza MICHUZI,SASA AMEAMUA KUSUUZA ROHO ZA WAUMINI WA BLOGU!
ReplyDeleteHivi michuzi enzi hizi haukuwa na camera ya rangi maana naona picha zote ni black and white
ReplyDeleteHaya michuzi kibao kimekubadilikia wewe, black and white, vipi ndugu Michuzi akikupa address utamnunulia camera nyingine pengeni huwa anakodisha ya rangi....NATAMTANIA TU MICHUZI watu wacheke, biashara yake ni kubwa..kaka hongera!
ReplyDeleteKama dada anasifa nzuri, tutaambiwa tu, tusubiri...wabongo tunajuana, kama sisi hatumjui lazima wapo tu watu wa karibu wanaojua CV yake.
ReplyDeleteYaelekea ana sifa nzuri, mpaka sasa hatujasikia ki2 toka kwa wabongo!! huyu ni msafi
ReplyDeleteJamani hata mimi nahisi huyu hana tabia za kishenzi, tusubirini wabongo watueleze!
ReplyDeletewe michuzi dari ndio nini?
ReplyDeleteMimi Namfagilia naona yule kaka aliyekuwa anatafuta contact zake aendelee tu maana naona hatapatwa na BPs na mised calls kutoka kwa dada huyu kama madada(mamis) wengine.
ReplyDeleteHalafu kila cku shingo yake inaongezeka urefu, au kuna dawa ya kuongeza urefu wa shingo?? Maanoni Nipeni jibu
ReplyDeleteWe anony 10.55Am inamaana unamaanisha atakuja kuwa twiga? Hila mimi nampendea hila shingo si mchezo.
ReplyDeletehuyo dada nampata sana.Kwanza ameliwa sana bongo mpaka watu wakamkimbia akaamia kulea vivulana vidogo ikashindikana ikabidi akimbilie south africa baada ya kupata kashfa ya kaugonjwa.sa hivi anatuzuga top model south.Kiufupi ni Uozooooo.
ReplyDeleteWewe annoyn 12.16pm unanikatisha tamaa maana nilikuwa nafuatilia data zake ili nifunge safari ya Turiani.Hapa Bongo hajagawa uroda ila ailfuatwa na watu kibao nikiwemo mimi ila hajatoa uroda sawa.Bado hajawa uozoooo,shamba bado bichi kabisa.
ReplyDeleteAnoni wa 12:47 cjakuelewa unaposema shamba bado "BICHI". Una maana ga??
ReplyDeleteMaana yake hakuna aliye kata msitu bado miti imesimama kabisa unasikia??????????
ReplyDeleteIna maana hakuna anayeweza kusambaratisha huo mc2 na kufanya miti yote kulala???
ReplyDeleteUgumu hauko katika kusamabaratisha mc2 bali kuufikia huo mc2 na kujaribu kuusamabaratisha ndiko kugumu, na hapo ndipo unapokuja ukali wa nyuki utamu wa asali. Not easy to approach this lady for sexual matters, sitoshangaa yakitokea yale ya wimbo wa Queen wa Vijana Jazz, atakuja olewa na mtu wa kawaida sana.
ReplyDeleteWewe annoy 2.06 pm unamjua sana huyu binti, hongera sana, na huyo mtu wa kawaida mwenyewe ndiye mimi,nakwambia najiita sasa mume mtarajiwa, naomba tuzidi kuwasiliana maana nataka uwe bestman wangu pamoja na shemeji siku ya siku, sawa wajina?
ReplyDeleteMimi namtakia kila la heri huyu anayetaka kuwa mtarajiwa nafikiri mpaka sasa hivi kama hakuna chochote nafikiri dada anastahiri pongezi na anafahaa sana kuwa mwakilishi wa vijana katika shuguli mbalimbali inatakiwa watu wawe wanaiga mfano wake siku moja nitamtafuta angalau nimpe zawadi tu ya heshima. Ni zawadi ya kumsifu.
ReplyDeleteSasa ni official kwamba huyu hana kashfa kabisa za ngono.
ReplyDeleteHongera dada na mjadala huu umefungwa.
Sawa shemeji, naona umeiwakilisha familia kama msemaji wao, jamaa sasa ataingiza timu huko Bwagala kwa mzee Magesse, jiandaeni kumpokea maana kauli yako ni kauli ya familia.Wajina sasa kazi kwako shamba bado bichi ingiza timu, shemeji yako kakupa uhakika.
ReplyDeleteNdugu michuzi hivi email ya temu tumeipata sasa hivi tunabwabwaja tu. Je na huyu dada wa kwa Mzee wa Heshima magesse tutaipataje?
ReplyDeleteNAFUNGA SASA KWA HERUFI KUBWA MAANA NI WAZI HUYU HAPPINESS MAGESSE. NI WAZI HANA TABIA CHAFU, NI MSICHANA SAFI NA MWENYE TABIA NJEMA. MAANA MPAKA SASA HAMNA COMENTI YEYOTE MBAYA. NA KAMA UNAVYOJUA WA-BONGO HUWA HAWAMKOPESHI MTU. WANGEKUWA WAMESHAJITOKEZA KUMPAKA. HONGERA DADA-- NA INAONEKANA NI ANATOKA MKOA WA MARA HUYO. MUSOMA. MAANA HILO JINA LA MAGESE NI MUSOMA TU. HONGERA WAZAZI WA MUSOMA KWA KULEA WATOTO VIZURI.
ReplyDeleteUkisema Musoma mara moja kesha KEKETWA, kapungua kama ni kweli.Sijui kama ni sifa nzuri sasa?
ReplyDeleteWewe anonymous wa 11:56 una maana gani kusema kama ni Musoma mara moja kesha KEKETWA???? Musoma ni mkoa wa TZ, na watanzania wako wengi bwana na makabila ni mengi mikoa mingi sanaaaaaaa. na wako wengine waliosifiwa kama Anjela Damas naye alikuwa miss ambaye anafagiliwa hapa kweli ana tabia njema, hatoki Musoma, haya pia Saida Kessy hana comenti yeyote chafu, lakini ni mwislamu hatoki Musoma, ni kwamba nimetamka hilo jina kama wazazi wake ni kutoka Musoma katika mkoa wa Mara. Wakina dada wenye tabia njema wako kila mkoa. Kama huelewi maana ya kuwa kwenye hii blog basi kaa pembeni. Usiudhi watu hapa kwa kuandika upuuzi. Jamani kabla hamjaingia humu kwenye blog muwe mumejitayarisha. Nomba radhi kama nimekushutumia sana hapa lakini kweli hiyo coment yako hapo haina maana. Au labda ulikuwa hujanielewa. Poa.
ReplyDeleteBalyagati,huyo jamaa ana maana kuwa wasichana wa mkoa wa Musoma halisi(wenye mkoa) karibu robo tatu ya makabila yao yanafanya TOHARA ya wasichana(wanawake) hivyo inawezekana(ingawa siamini)kama MREMBO ni mmoja kati ya makabila hayo, bai hilo MILA ama TAMADUNI , imempitia na kwake anaona KAPUNGUA.Mimi naona hamkuelewana na ndiyo maana umevimbishia mishipa ya shingo.Haya kaeni salama.
ReplyDeleteKweli kabisa Balyagati hukumuelewa jamaa, pole nadhani wewe ndiye mtarajiwa, any way, jamaa haakuwa na nia ya kukukatisha tamaa, ila nadhani anaeleza yale yanayojili kwa aina nyangeta huko Musoma.Alafu nadhani si kupungua wala kuondoa sifa za mrembo huyo, after all sisi tunaangalia ya nje ya huko ndani hatujui na hatuhusudishi, funga buti MURAAAA, mwendo kwa mbele, KUKEKETWA si tatizo.Kisyeri
ReplyDeleteHivyo nyinyi mnaposoma hapo juu kati yangu na Balyagati mnatambua ni nani hakumuelewa mwenzake?mimi ndiye niliyeshutumiwa na Balyagati(shemeji) ninachoona yeye ndiye anastahili kushutumiwa kwa kuingia kichwa kichwa bila kuelewa maana ya mistari.Mimi sioni tatizo bwana shemeji,karibu sana hapa BUNDA nitakuelewesha vizuri nilikuwa na maana gani.Kwa taarifa yako TOHARA ya wasichana hapa Musoma ni kiboko, hivi ninavyooandika wasichana kiabao wanajiandaa kufanyiwa.
ReplyDeleteHaya basi wazalendo naomba radhi.....maana ni wazi sikuelewa. Lakini Muraaa TOHARA sio wote wanaofanyiwa, au siyo hasa hawa dada waliokulia mjini na wazazi wamesoma. Ila dada huyu ana sifa nzuri maana kama wote tunavyojua humu kwenye hii blogu wanaingia watu kutoka sehemu mbali mbali na wabongo hawamkopeshi mtu. Kama tulivyoona Shose Sinare alivyopakwa sana, kweli bwana uzuri si sura ila pia na tabia njema Shose Sinare anajifanya expensive kumbe cheap. na kweli amebainika, naona familia imeona aibu sana kiasi kwamba wameomba MICHUZI aondoe picha zake zote pamoja na maoni. lakini tuu leiti, maana walimwengu wameshapata data. Namwonea huruma sana sasa. Lakini ndio maisha mwache tu aendelee kutiwa na Peter Rupia sasa. Haya waungwana. Baadae basi. Poa.
ReplyDeletewatu wote wejipost as anonymous... inakuwaje we "Balyagati" ujitangaze hivyo? Au Balyagati Fake????? usichafue majina ya Ma Godfather bwana!!!!
ReplyDelete